Dar es Salaam. Meya mpya wa Jiji la Dar es Salaam, Nurdin Juma, maarufu Shetta amesema katika uongozi wake atahakikisha kila mmoja anapata haki yake inayostahiki na hakuna atakayependelewa. Diwani ...
Arusha. Waziri Mkuu mstaafu, Mizengo Pinda amezitaka taasisi za kitafiti kuendelea kuimarisha nafasi ya sayansi, teknolojia, na ubunifu katika sekta ya kilimo ili kufanikisha malengo ya Taifa ya ...
Kocha Mecky Maxime ndiye mrithi rasmi wa Mbeya City ya Mbeya akichukua mikoba ya Malale Hamsini aliyetimuliwa mwanzoni mwa wiki hii. Maxime ambaye amewahi kuzinoa Kagera Sugar na Dodoma Jiji, ataanza ...
Simba kama kawaida imeendeleza moto wake kwenye Ligi Kuu Bara, baada ya kuichapa Mbeya City kwa mabao 3-0 lakini utamu wa ushindi huo ni kiungo Mohammed Bajaber. Ushindi huo wa nne kwenye mechi nne ...
Dar es Salaam. Serikali ya Rais Donald Trump imesimamisha kwa muda usiojulikana maombi yote ya uhamiaji kutoka nchi 19, hatua iliyoibua sintofahamu nchini Marekani na duniani kwa ujumla. Hatua hiyo ...
Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) amefutia mashtaka na kumwachia huru mfanyabiashara wa vipodozi Jenifer Jovin (26) maarufu Niffer na Mika Lucas Chavala, waliokuwa na kesi ya uhaini. Uamuzi ...
Arusha. Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, imewaachia huru na kuwafutia mashtaka ya uhaini washtakiwa 105 kati ya 100 waliokuwa wakishtakiwa katika kesi tatu tofauti. Miongoni mwa walioachiwa ni watoto ...
Timu ya taifa ya vijana ya Tanzania chini ya Umri wa miaka 17 ‘Serengeti Boys’ imetwaa ubingwa wa mashindano ya kuwania kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika kwa umri huo (AFCON U17) baada ya kuichapa ...
Dar es Salaam. Uamuzi wa Simba kuachana ghafla na Meneja wake Dimitar Pantev ambaye alikuwa mkuu wa benchi la ufundi, leo Jumanne, Desemba 2, 2025 unatajwa kuchangiwa na sababu tatu. Kupitia taarifa ...
Dar es Salaam. Waumini wa Kanisa la Ufufuo na Uzima la Askofu Josephat Gwajima leo Novemba 30, 2025 wamefanya ibada ya kwanza ya Jumapili, ikiwa imepita zaidi ya miezi sita tangu kufutiwa usajili.
Siku moja baada ya Marekani kueleza azma yake ya kutathmini uhusiano wake na Tanzania, mataifa mbalimbali ya Ulaya na Scandinavia, yenye balozi zake nchini, yamelaani mauaji ya raia katika ...
Dar es Salaam. Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimeanza safari ya kutekeleza mkakati wa kutoa elimu kidijitali kwa kuunganisha kampasi zake zote kwa teknolojia na mawasiliano ili kutoa nafasi kwa ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results