Dar es Salaam. Meya mpya wa Jiji la Dar es Salaam, Nurdin Juma, maarufu Shetta amesema katika uongozi wake atahakikisha kila mmoja anapata haki yake inayostahiki na hakuna atakayependelewa. Diwani ...
Arusha. Waziri Mkuu mstaafu, Mizengo Pinda amezitaka taasisi za kitafiti kuendelea kuimarisha nafasi ya sayansi, teknolojia, na ubunifu katika sekta ya kilimo ili kufanikisha malengo ya Taifa ya ...
Kocha Mecky Maxime ndiye mrithi rasmi wa Mbeya City ya Mbeya akichukua mikoba ya Malale Hamsini aliyetimuliwa mwanzoni mwa wiki hii. Maxime ambaye amewahi kuzinoa Kagera Sugar na Dodoma Jiji, ataanza ...
Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) amefutia mashtaka na kumwachia huru mfanyabiashara wa vipodozi Jenifer Jovin (26) maarufu Niffer na Mika Lucas Chavala, waliokuwa na kesi ya uhaini. Uamuzi ...
Dar es Salaam. Serikali ya Rais Donald Trump imesimamisha kwa muda usiojulikana maombi yote ya uhamiaji kutoka nchi 19, hatua iliyoibua sintofahamu nchini Marekani na duniani kwa ujumla. Hatua hiyo ...
Dar es Salaam. Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimeanza safari ya kutekeleza mkakati wa kutoa elimu kidijitali kwa kuunganisha kampasi zake zote kwa teknolojia na mawasiliano ili kutoa nafasi kwa ...
Katika uhusiano wa ndoa, suala la kutotoshelezwa kimapenzi ni jambo linaloweza kumgusa mtu yeyote, na mara nyingi halimaanishi kwamba mwenzi wako hafai au hashughuliki. Wakati mwingine, hata akiwa ...
Dar es Salaam. Wakati Serikali ikisaka njia ya maridhiano, Jumuiya ya Madola imemteua Rais mstaafu wa Malawi, Dk Lazarus Chakwera kuwa mjumbe maalumu wa jumuiya hiyo nchini kuunga mkono majadiliano ya ...
Dar es Salaam. Baada ya kusogezwa mbele kwa ratiba ya kufungua taasisi za elimu ya juu kufuatia vurugu zilizotokea Oktoba 29, Serikali hatimaye imetangaza tarehe mpya ya kurejea vyuoni kwa wanafunzi.
Dar es Salaam. Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limetangaza nafasi za ajira katika kada tofauti likiwaalika Watanzania wenye sifa stahiki kutuma maombi yao. Lengo ni kuongeza nguvu kazi na ...
Haiwi haiwi, huwa na imekuwa! Si Nepali na Madagascar mafyatu walifyatuka na kufyatua kikaumana! Nani alitegemea mafyatu waliodhaniwa kutoweza kufyatuka au kufyatuliwa wangefyatuka na kufyatua ...
Mbeya. Mwili wa aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu Mzumbe, Ndaki ya Mbeya, Shyrose Mabula, aliyeuawa kikatili kisha kuchomwa moto, umezikwa, huku waombolezaji wakipaza sauti kukemea tukio hilo, ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results