Tanga. Watu watano wamepoteza maisha baada ya kufukiwa na kifusi katika machimbo ya mchanga ya Bolbit, Kijiji cha Makuyuni, Wilaya ya Korogwe, mkoani Tanga. Ajali hiyo ilitokea saa 11:30 jioni ...
Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.
Dar es Salaam. Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi, Elizabeth Edward amesema taasisi za mikopo kwenye jamii zina faida na hasara zake. Amesema wakati benki zikisubiri wakopaji lakini watu wamekuwa ...
Dar es Salaam. Zaidi ya Sh19 milioni kati ya Sh41 milioni zilizochangwa na Watanzania kwa ajili ya kumsaidia Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu zimepigwa na wajanja ...
Dar es Salaam. Mei Mosi ya mwaka huu imeacha kicheko kwa maelfu ya watumishi wa umma baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kutangaza nyongeza ya kima cha chini cha mshahara kwa asilimia 35.1 kuanzia Julai ...
Mbeya. Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya memhukumu kutumikia kifungo cha miaka mitatu nasiku 14 jela, Mchungaji Mbarikiwa Mwakipesile (39) baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kuendesha huduma ya kikosi ...
Njombe. Serikali imetakiwa kuunga mkono juhudi za wawekezaji ambao wameonyesha jitihada katika shughuli za maendeleo kwa kuboresha miundo mbinu muhimu inayoelekea katika maeneo ya uzalishaji ili ...
Yanga itaanza kutetea taji lake la Shirikisho la CRDB kwa kukabiliana na Cosmopolitan wiki ijayo kwenye Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam. Mchezo huo ni wa hatua ya 64 bora ya mashindano hayo ...
Dodoma. Mbunge wa Mvumi (CCM), Livingstone Lusinde amekosoa utaratibu wa waajiriwa wapya kufanyiwa mtihani kabla ya kuajiriwa na badala yake ametaka vitumike vyeti. Lusinde ameyasema hayo leo Jumatatu ...
Pacome Zouzoua na Clement Mzize wamekuwa mashujaa wa Yanga leo hii baada ya kuiongoza timu yao kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Simba kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, yaliyoihakikisha timu ...
Morogoro. Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Ebenezeri Mbwambo (34), mkazi wa Morogoro, anadaiwa kujiua kwa kujikata koromeo ndani ya chumba alichokodi katika nyumba ya kulala wageni ya Kisenga, ...
Mshitakiwa Erasto Gabriel Mollel, ambaye ni mshitakiwa wa kwanza katika kesi ya mauaji ya Josephine Mngara (30) akiwa ndani ya chumba cha mahakama kuu Kanda ya Moshi, Mkoani Kilimanjaro. Moshi.