Ni mwanamziki wa kizazi kipya na mashuhuri sana nchini Tanzania Mbwana Yusuph Kilungi maarufu kama Mbosso anasifika sana kwa mziki wake, maneno yakimtoka moyoni. Lakini Mboso anaugua maradhi ya moyo.
Tanzanian singer Yusuph Kilungi better known by his stage name Mbosso is in mourning following the death of his former girlfriend and baby mama, Martha Boss. Mbosso who had known Martha for close to ...